Kuhusu Amboni Sisal Properties Ltd
ASPL ni mojawapo ya makampuni yaliyojikita na yanayoongoza katika uendelezaji wa ardhi na mipango miji katika nchi yetu ya Tanzania, kwa kufuatia taratibu za mipango miji. Miradi yetu ipo katika taratibu za mipango miji ya matumizi ya Makazi na kwa shughuli za kibiashara na maendeleo.
Miradi yetu inayoendelea kuuzwa kwa sasa ni pamoja na:
- Songwe Satellite Town uliopo jijini Mbeya.
- Pongwe Satellite City uliopo jijini Tanga, Pongwe.
