Namna ya kununua
Hatua tano rahisi.
Hatua tano rahisi.
- STEP 01
Chagua kiwanja
Tembelea ofisi zetu, piga simu au tembelea mradi.
1 - STEP 02
Chagua malipo
Pesa taslimu, awamu, makato ya mshahara au mkopo wa benki.
2 - STEP 03
Jaza fomu
Leta nakala ya NIDA na nyaraka muhimu za maombi.
3 - STEP 04
Anza malipo
Fanya malipo kwa njia uliyochagua.
4 - STEP 05
Hati Miliki
Utaratibu wa hati miliki utaanza baada ya malipo kukamilika.
5
*Vigezo na masharti kuzingatiwa.
